Waamuzi 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo wanaume wote wa Israeli wakapanda kwenda Betheli. Wakalia na kukaa huko mbele za Yehova,+ nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni na kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika.+
26 Ndipo wanaume wote wa Israeli wakapanda kwenda Betheli. Wakalia na kukaa huko mbele za Yehova,+ nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni na kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika.+