3“‘Na ikiwa toleo lake ni dhabihu ya ushirika,+ ikiwa analitoa kutoka kati ya mifugo, wa kiume au wa kike, atamtoa yule asiye na kasoro+ mbele za Yehova.
8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.”