Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Na ikiwa toleo lake ni dhabihu ya ushirika,+ ikiwa analitoa kutoka kati ya mifugo, wa kiume au wa kike, atamtoa yule asiye na kasoro+ mbele za Yehova.

  • Mambo ya Walawi 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Sasa ikiwa mtamtolea Yehova dhabihu ya ushirika,+ mtaitoa ili mjipatie kibali.+

  • Waamuzi 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na ikawa kesho yake kwamba watu wakaamka mapema, wakajenga madhabahu hapo na kutoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika.+

  • 1 Samweli 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki