Kutoka 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Musa akasema: “Wewe mwenyewe pia utatupa mikononi mwetu dhabihu na matoleo ya kuteketezwa, kwa maana tutavitoa kwa Yehova Mungu wetu.+ Mambo ya Walawi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
25 Lakini Musa akasema: “Wewe mwenyewe pia utatupa mikononi mwetu dhabihu na matoleo ya kuteketezwa, kwa maana tutavitoa kwa Yehova Mungu wetu.+
3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+