Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Na ikiwa toleo lake ni dhabihu ya ushirika,+ ikiwa analitoa kutoka kati ya mifugo, wa kiume au wa kike, atamtoa yule asiye na kasoro+ mbele za Yehova.

  • Mambo ya Walawi 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Sasa ikiwa mtamtolea Yehova dhabihu ya ushirika,+ mtaitoa ili mjipatie kibali.+

  • Waamuzi 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi wana wote wa Israeli,+ watu wote, wakapanda na kuja Betheli, wakalia+ na kukaa hapo mbele za Yehova nao wakafunga+ siku hiyo mpaka jioni, wakatoa matoleo ya kuteketezwa+ na matoleo ya ushirika+ mbele za Yehova.

  • 2 Samweli 24:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki