1 Samweli 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha ushuke na kunitangulia kwenda Gilgali,+ nami nitakufuata huko ili nitoe dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Unapaswa kungoja kwa siku saba mpaka nitakapofika. Halafu nitakujulisha jambo unalopaswa kufanya.”
8 Kisha ushuke na kunitangulia kwenda Gilgali,+ nami nitakufuata huko ili nitoe dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Unapaswa kungoja kwa siku saba mpaka nitakapofika. Halafu nitakujulisha jambo unalopaswa kufanya.”