1 Samweli 7:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Samweli akaendelea kuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.+ 16 Kila mwaka alisafiri na kuzunguka Betheli,+ Gilgali,+ na Mispa,+ naye alikuwa mwamuzi wa Israeli katika maeneo hayo yote. 1 Samweli 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye Samweli akawaambia watu: “Njooni twende Gilgali+ tukamtangaze tena mfalme.”+
15 Samweli akaendelea kuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.+ 16 Kila mwaka alisafiri na kuzunguka Betheli,+ Gilgali,+ na Mispa,+ naye alikuwa mwamuzi wa Israeli katika maeneo hayo yote.