Yeremia 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao hawatawapa mkate wowote kwa sababu ya kuomboleza ili kumfariji mtu juu ya waliokufa;+ wala hawatawapa kikombe cha faraja ili kunywa kwa sababu ya baba ya mtu na kwa sababu ya mama ya mtu.+ Ezekieli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ugua pasipo maneno. Usiwaombolezee hata kidogo waliokufa.+ Jifunge kitambaa chako cha kichwani,+ na uvae viatu vyako miguuni+ pako. Nawe usifunike masharubu,+ wala usile mkate wa wanadamu.”+
7 Nao hawatawapa mkate wowote kwa sababu ya kuomboleza ili kumfariji mtu juu ya waliokufa;+ wala hawatawapa kikombe cha faraja ili kunywa kwa sababu ya baba ya mtu na kwa sababu ya mama ya mtu.+
17 Ugua pasipo maneno. Usiwaombolezee hata kidogo waliokufa.+ Jifunge kitambaa chako cha kichwani,+ na uvae viatu vyako miguuni+ pako. Nawe usifunike masharubu,+ wala usile mkate wa wanadamu.”+