Ezekieli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ugua pasipo maneno. Usiwaombolezee hata kidogo waliokufa.+ Jifunge kitambaa chako cha kichwani,+ na uvae viatu vyako miguuni+ pako. Nawe usifunike masharubu,+ wala usile mkate wa wanadamu.”+ Hosea 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hawataendelea kummiminia Yehova divai.+ Na dhabihu zao hazitampendeza;+ hizo ni kama mkate wa nyakati za maombolezo+ kwao; wote wanaoula watajitia unajisi. Kwa maana mkate wao ni kwa ajili ya nafsi zao wenyewe; hautaingia katika nyumba ya Yehova.+
17 Ugua pasipo maneno. Usiwaombolezee hata kidogo waliokufa.+ Jifunge kitambaa chako cha kichwani,+ na uvae viatu vyako miguuni+ pako. Nawe usifunike masharubu,+ wala usile mkate wa wanadamu.”+
4 Hawataendelea kummiminia Yehova divai.+ Na dhabihu zao hazitampendeza;+ hizo ni kama mkate wa nyakati za maombolezo+ kwao; wote wanaoula watajitia unajisi. Kwa maana mkate wao ni kwa ajili ya nafsi zao wenyewe; hautaingia katika nyumba ya Yehova.+