Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nawe utatoa divai iwe toleo la kinywaji,+ sehemu ya nne ya hini, pamoja na lile toleo la kuteketezwa au kwa ajili ya dhabihu ya kila mwana-kondoo dume.

  • Hesabu 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kama matoleo yao ya kinywaji watatoa nusu+ ya hini ya divai kwa ajili ya ng’ombe-dume na sehemu ya tatu+ ya hini kwa ajili ya kondoo-dume na sehemu ya nne+ ya hini kwa ajili ya mwana-kondoo dume. Hilo ndilo toleo la kuteketezwa la kila mwezi katika mwezi wake kwa ajili ya miezi ya mwaka.+

  • Yoeli 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Jifungeni mshipi, jipigeni vifua,+ ninyi makuhani. Pigeni mayowe, ninyi wahudumu wa madhabahu.+ Ingieni ndani, kaeni usiku kucha mkiwa mmevaa nguo za magunia, ninyi wahudumu wa Mungu wangu; kwa maana nyumba ya Mungu wenu imenyimwa toleo la nafaka+ na toleo la kinywaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki