14 Na matoleo ya kinywaji ya dhabihu hiyo yanapaswa kuwa nusu ya hini ya divai kwa ajili ya ng’ombe dume+ na sehemu ya tatu ya hini kwa ajili ya kondoo dume+ na robo ya hini kwa ajili ya mwanakondoo dume.+ Hiyo ndiyo dhabihu ya kuteketezwa inayopaswa kutolewa kila mwezi kwa mwaka mzima.