20 Wanapoingia kwenye hema la mkutano wataoga kwa maji wasije wakafa, au wanapoenda karibu na madhabahu kuhudumia ili kumfukizia Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto.+
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?