-
Mambo ya Walawi 10:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kwa hiyo Musa akamwambia Haruni na Eleazari na Ithamari wale wanawe wengine: “Msiache vichwa vyenu vikose kuwa nadhifu,+ wala msiyararue mavazi yenu, msije mkafa wala asije akalikasirikia kusanyiko lote;+ lakini ndugu zenu wa nyumba yote ya Israeli watalilia kule kuteketeza, ambako Yehova aliteketeza.
-