2 Samweli 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baadaye watu wote wakaja kumpa Daudi mkate wa faraja* kungali mchana, lakini Daudi akaapa hivi: “Mungu na aniadhibu, tena vikali, ikiwa nitaonja mkate au kitu kingine chochote kabla ya jua kutua!”+
35 Baadaye watu wote wakaja kumpa Daudi mkate wa faraja* kungali mchana, lakini Daudi akaapa hivi: “Mungu na aniadhibu, tena vikali, ikiwa nitaonja mkate au kitu kingine chochote kabla ya jua kutua!”+