Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Sauli na wanawe watatu na mchukua-silaha wake, watu wake wote, wakafa pamoja siku hiyo.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Sauli akamwambia mchukua-silaha wake:+ “Chomoa upanga wako,+ unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa+ wasije kunitendea vibaya.”+ Naye mchukua-silaha wake hakutaka,+ kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga, akauangukia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki