1 Samweli 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Sauli na wanawe watatu na mchukua-silaha wake, watu wake wote, wakafa pamoja siku hiyo.+ 1 Mambo ya Nyakati 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Sauli akamwambia mchukua-silaha wake:+ “Chomoa upanga wako,+ unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa+ wasije kunitendea vibaya.”+ Naye mchukua-silaha wake hakutaka,+ kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga, akauangukia.+
4 Ndipo Sauli akamwambia mchukua-silaha wake:+ “Chomoa upanga wako,+ unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa+ wasije kunitendea vibaya.”+ Naye mchukua-silaha wake hakutaka,+ kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga, akauangukia.+