21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+
23 Lakini wale wakuu wa muungano wa Wafilisti wakakusanyika pamoja ili kutoa dhabihu kubwa kwa Dagoni+ mungu wao na ili washangilie, nao wakawa wakisema: “Mungu wetu amemtia mkononi mwetu Samsoni adui yetu!”+