Waamuzi 9:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Kwa hiyo, akamwita haraka mtumishi aliyechukua silaha zake na kumwambia: “Chomoa upanga wako, uniue,+ wasije wakasema juu yangu, ‘Mwanamke ndiye aliyemuua.’” Mara moja mtumishi wake akamchoma, naye akafa.+ 2 Samweli 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha akasema, ‘Tafadhali, simama juu yangu, na kwa hakika uniue, kwa maana ganzi imenishika, kwa sababu nafsi+ yangu yote ingali ndani yangu.’
54 Kwa hiyo, akamwita haraka mtumishi aliyechukua silaha zake na kumwambia: “Chomoa upanga wako, uniue,+ wasije wakasema juu yangu, ‘Mwanamke ndiye aliyemuua.’” Mara moja mtumishi wake akamchoma, naye akafa.+
9 Kisha akasema, ‘Tafadhali, simama juu yangu, na kwa hakika uniue, kwa maana ganzi imenishika, kwa sababu nafsi+ yangu yote ingali ndani yangu.’