1 Samweli 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Yehova atatia Israeli pia pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti,+ na kesho+ wewe na wana wako+ mtakuwa pamoja nami. Hata kambi ya Israeli, Yehova ataitia mkononi mwa Wafilisti.”+ 1 Mambo ya Nyakati 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Sauli na wanawe watatu wakafa,+ na wote wa nyumba yake wakafa pamoja.
19 Na Yehova atatia Israeli pia pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti,+ na kesho+ wewe na wana wako+ mtakuwa pamoja nami. Hata kambi ya Israeli, Yehova ataitia mkononi mwa Wafilisti.”+