1 Samweli 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na mwishowe Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli. 2 Samweli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+
2 Na Wafilisti wakaendelea kumfuatilia kwa ukaribu sana Sauli na wanawe; na mwishowe Wafilisti wakawapiga na kuwaua Yonathani+ na Abinadabu+ na Malki-shua,+ wana wa Sauli.
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+