7 Basi Sauli alikuwa na suria ambaye jina lake lilikuwa Rispa,+ binti ya Aya.+ Baadaye Ish-boshethi+ akamwambia Abneri: “Kwa nini ulilala na suria+ wa baba yangu?”
5 Na wana wa Rimoni Mbeerothi, Rekabu na Baana, wakaenda na kufika katika nyumba ya Ish-boshethi+ mchana, wakati ambapo kulikuwa na joto jingi, alipokuwa analala usingizi wa mchana.
12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+