Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi Sauli alikuwa na suria ambaye jina lake lilikuwa Rispa,+ binti ya Aya.+ Baadaye Ish-boshethi+ akamwambia Abneri: “Kwa nini ulilala na suria+ wa baba yangu?”

  • 2 Samweli 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wana wa Rimoni Mbeerothi, Rekabu na Baana, wakaenda na kufika katika nyumba ya Ish-boshethi+ mchana, wakati ambapo kulikuwa na joto jingi, alipokuwa analala usingizi wa mchana.

  • 2 Samweli 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi Daudi akawaamuru vijana, nao wakawaua,+ wakaikata mikono yao na miguu yao na kuwatundika+ kando ya kidimbwi kilicho katika Hebroni; nao wakakichukua kichwa cha Ish-boshethi, wakakizika katika kaburi la Abneri kule Hebroni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki