Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Lala na masuria wa baba yako,+ aliowaacha nyuma kuitunza nyumba.+ Na Israeli wote hakika watasikia kwamba umenuka+ mbele ya baba yako,+ na mikono+ ya wote walio pamoja nawe itapata nguvu.”

  • 2 Samweli 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi wakamsimamishia Absalomu hema juu ya dari,+ naye Absalomu akaanza kulala na masuria wa baba yake+ mbele ya macho ya Israeli wote.+

  • 1 Wafalme 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo Mfalme Sulemani akajibu na kumwambia mama yake: “Na kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu kwa ajili ya Adoniya? Mwombee pia ufalme+ (kwa sababu yeye ni ndugu yangu aliye mkubwa wangu),+ naam, kwa ajili yake na kwa ajili ya Abiathari+ kuhani na kwa ajili ya Yoabu+ mwana wa Seruya.”+

  • Methali 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka anajipatia aibu yeye mwenyewe,+ naye anayemkaripia mwovu—mna kasoro ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki