2 Samweli 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Fanya ngono na masuria wa baba yako,+ aliowaacha waitunze nyumba.*+ Kisha Waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa uvundo kwa baba yako, na wale wanaokuunga mkono watapata nguvu.” 2 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 16:21 w05 5/15 13 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:21 The Watchtower,5/15/2005, uku. 13
21 Basi Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Fanya ngono na masuria wa baba yako,+ aliowaacha waitunze nyumba.*+ Kisha Waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa uvundo kwa baba yako, na wale wanaokuunga mkono watapata nguvu.”