2 Samweli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+ 2 Samweli 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi Sauli alikuwa na suria ambaye jina lake lilikuwa Rispa,+ binti ya Aya.+ Baadaye Ish-boshethi+ akamwambia Abneri: “Kwa nini ulilala na suria+ wa baba yangu?”
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+
7 Basi Sauli alikuwa na suria ambaye jina lake lilikuwa Rispa,+ binti ya Aya.+ Baadaye Ish-boshethi+ akamwambia Abneri: “Kwa nini ulilala na suria+ wa baba yangu?”