Mwanzo 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bila kukawia, Yakobo alipowaona akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!”+ Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.+ Yoshua 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na eneo lao likawa kutoka Mahanaimu+ na Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani,+ na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ vilivyo katika Bashani, miji 60. 2 Samweli 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye.
2 Bila kukawia, Yakobo alipowaona akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!”+ Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.+
30 Na eneo lao likawa kutoka Mahanaimu+ na Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani,+ na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ vilivyo katika Bashani, miji 60.
24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye.