Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Na jina la mke wa Sauli lilikuwa Ahinoamu binti ya Ahimaazi, na jina la mkuu wa jeshi lake lilikuwa Abneri+ mwana wa Neri, ndugu ya baba ya Sauli.

  • 1 Samweli 17:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Basi wakati ule Sauli alipomwona Daudi akienda kukutana na yule Mfilisti, alimwambia Abneri+ mkuu wa jeshi: “Huyu mvulana+ ni mwana wa nani,+ Abneri?” Abneri naye akasema: “Kwa uhai wa nafsi yako, Ee mfalme, sijui kabisa!”

  • 1 Samweli 26:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye Daudi akasimama, akaenda mahali ambapo Sauli alikuwa amepiga kambi, na Daudi akaona mahali ambapo Sauli alikuwa amelala, na pia Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lake; na Sauli alikuwa amelala katika uwanja wa kambi,+ watu wakiwa wamepiga kambi kumzunguka.

  • 2 Samweli 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati mwana+ wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa katika Hebroni,+ ndipo mikono yake ikalegea+ na Waisraeli wote wakavurugika.

  • 1 Wafalme 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nawe mwenyewe pia unajua vema jinsi Yoabu mwana wa Seruya alivyonitendea+ kwa jinsi alivyowatendea wakuu wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri+ mwana wa Neri na Amasa+ mwana wa Yetheri,+ alipowaua na kumwaga damu+ ya vita wakati wa amani na kutia damu ya vita katika mshipi wake uliokuwa kiunoni mwake na katika viatu vyake vilivyokuwa miguuni mwake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 26:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na pia vyote ambavyo Samweli mwonaji+ na Sauli mwana wa Kishi na Abneri+ mwana wa Neri na Yoabu+ mwana wa Seruya+ walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu. Chochote ambacho mtu alikifanya kuwa kitakatifu kilikuwa chini ya Shelomithi na ndugu zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki