1 Samweli 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Sauli akatuma wajumbe kwa Yese na kusema: “Mtume kwangu Daudi mwana wako, aliye pamoja na kundi.”+ 1 Samweli 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Daudi akamjia Sauli na kumtumikia;+ naye akampenda sana, kisha akawa mchukua-silaha wake.+
19 Kwa hiyo Sauli akatuma wajumbe kwa Yese na kusema: “Mtume kwangu Daudi mwana wako, aliye pamoja na kundi.”+
21 Kwa hiyo Daudi akamjia Sauli na kumtumikia;+ naye akampenda sana, kisha akawa mchukua-silaha wake.+