1 Samweli 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Daudi alikuwa akienda na kurudi kutoka kwa Sauli ili kuchunga kondoo+ za baba yake katika Bethlehemu. Zaburi 78:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Na kwa hiyo akamchagua Daudi mtumishi wake+Naye akamtoa katika mazizi ya kundi.+
15 Naye Daudi alikuwa akienda na kurudi kutoka kwa Sauli ili kuchunga kondoo+ za baba yake katika Bethlehemu.