28 pia, vitu vyote ambavyo Samweli mwonaji,+ Sauli mwana wa Kishi, Abneri+ mwana wa Neri, na Yoabu+ mwana wa Seruya+ walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu. Kitu chochote ambacho mtu yeyote alikifanya kuwa kitakatifu kiliwekwa chini ya usimamizi wa Shelomithi na ndugu zake.