Waamuzi 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha akawa na kiu sana, na kuanza kumwita Yehova, akisema: “Wewe ndiye uliyetia wokovu huu mkubwa mkononi mwa mtumishi wako,+ na je, sasa nife kutokana na kiu, na je, nianguke mkononi mwa wasiotahiriwa?”+ 2 Samweli 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Msiseme hayo katika Gathi;+Msiyatangaze katika barabara za Ashkeloni,+Binti za Wafilisti wasije wakashangilia,Binti za watu wasiotahiriwa wasije wakafurahi.+
18 Kisha akawa na kiu sana, na kuanza kumwita Yehova, akisema: “Wewe ndiye uliyetia wokovu huu mkubwa mkononi mwa mtumishi wako,+ na je, sasa nife kutokana na kiu, na je, nianguke mkononi mwa wasiotahiriwa?”+
20 Msiseme hayo katika Gathi;+Msiyatangaze katika barabara za Ashkeloni,+Binti za Wafilisti wasije wakashangilia,Binti za watu wasiotahiriwa wasije wakafurahi.+