Kumbukumbu la Torati 32:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+ 1 Samweli 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao wakakata kichwa+ chake na kuvua silaha zake na kutuma wajumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili kuzijulisha+ nyumba za sanamu+ zao pamoja na watu.
27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+
9 Nao wakakata kichwa+ chake na kuvua silaha zake na kutuma wajumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili kuzijulisha+ nyumba za sanamu+ zao pamoja na watu.