Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 (kutoka kile kijito cha Nile kilichoko mbele ya Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini,+ ilikuwa ikihesabiwa kuwa ni ya Wakanaani);+ wakuu watano+ wa muungano wa Wafilisti, Wagaza+ na Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi+ na Waekroni;+ na Waavimu.+

  • Waamuzi 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini wale wakuu wa muungano wa Wafilisti wakakusanyika pamoja ili kutoa dhabihu kubwa kwa Dagoni+ mungu wao na ili washangilie, nao wakawa wakisema: “Mungu wetu amemtia mkononi mwetu Samsoni adui yetu!”+

  • 1 Samweli 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi hizi ndizo bawasiri za dhahabu ambazo Wafilisti walirudisha kuwa toleo la hatia kwa Yehova:+ kwa ajili ya Ashdodi+ moja, kwa ajili ya Gaza+ moja, kwa ajili ya Ashkeloni+ moja, kwa ajili ya Gathi+ moja, kwa ajili ya Ekroni+ moja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki