Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wakawatuma watu wawakusanye kwao wakuu wote wa muungano wa Wafilisti, wakasema: “Tutalifanyia nini sanduku la Mungu wa Israeli?” Mwishowe wakasema: “Acheni sanduku la Mungu wa Israeli lizunguke kwenda Gathi.”+ Basi wakalibeba sanduku la Mungu wa Israeli kwa kuzunguka mpaka huko.

  • 1 Samweli 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na bingwa fulani akatoka katika kambi za Wafilisti, na jina lake lilikuwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ urefu wake ulikuwa mikono sita na shubiri moja.+

  • 2 Samweli 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hao wanne walikuwa wamezaliwa kwa Refaimu katika Gathi;+ nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki