Yoshua 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna Waanaki wowote walioachwa katika nchi ya wana wa Israeli. Walibaki+ tu katika Gaza,+ katika Gathi+ na katika Ashdodi.+ 2 Samweli 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hao wanne walikuwa wamezaliwa kwa Refaimu katika Gathi;+ nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.+ 1 Mambo ya Nyakati 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hao ndio waliokuwa wamezaliwa kwa Refaimu+ katika Gathi;+ nao wakaanguka+ kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.
22 Hakuna Waanaki wowote walioachwa katika nchi ya wana wa Israeli. Walibaki+ tu katika Gaza,+ katika Gathi+ na katika Ashdodi.+
22 Hao wanne walikuwa wamezaliwa kwa Refaimu katika Gathi;+ nao wakaanguka kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.+
8 Hao ndio waliokuwa wamezaliwa kwa Refaimu+ katika Gathi;+ nao wakaanguka+ kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.