8 Basi wakatuma ujumbe na kuwakusanya watawala wote wa Wafilisti na kuwauliza: “Tulifanyie nini Sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakajibu: “Acheni Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishiwe kule Gathi.”+ Basi wakalihamishia huko Sanduku la Mungu wa Israeli.