Waamuzi 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Yuda akateka Gaza+ na eneo lake na Ashkeloni+ na eneo lake na Ekroni+ na eneo lake. Zekaria 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ashkeloni litaona na kuogopa; Gaza nalo pia litakuwa na maumivu makali sana; Ekroni+ pia, kwa sababu tumaini lake analotazamia+ litaona aibu. Na mfalme ataangamizwa kutoka Gaza, nalo Ashkeloni halitakaliwa na watu.+
5 Ashkeloni litaona na kuogopa; Gaza nalo pia litakuwa na maumivu makali sana; Ekroni+ pia, kwa sababu tumaini lake analotazamia+ litaona aibu. Na mfalme ataangamizwa kutoka Gaza, nalo Ashkeloni halitakaliwa na watu.+