Mwanzo 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha. Yoshua 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna Waanaki wowote walioachwa katika nchi ya wana wa Israeli. Walibaki+ tu katika Gaza,+ katika Gathi+ na katika Ashdodi.+ Yeremia 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+
19 Basi mpaka wa Mkanaani ukawa kutoka Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ mpaka Sodoma na Gomora+ na Adma+ na Seboiimu,+ karibu na Lasha.
22 Hakuna Waanaki wowote walioachwa katika nchi ya wana wa Israeli. Walibaki+ tu katika Gaza,+ katika Gathi+ na katika Ashdodi.+
20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+