21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+
26 Hata hivyo, malaika+ wa Yehova akasema na Filipo, akamwambia: “Ondoka uende upande wa kusini kwenye barabara inayoshuka kutoka Yerusalemu mpaka Gaza.” (Hii ni barabara ya jangwani.)