Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati mmoja Samsoni alienda Gaza,+ akaona mwanamke kahaba huko, akaingia kwake.+

  • Waamuzi 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+

  • Amosi 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitapeleka moto kwenye ukuta wa Gaza,+ nao utaiteketeza minara ya makao yake.

  • Matendo 8:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hata hivyo, malaika+ wa Yehova akasema na Filipo, akamwambia: “Ondoka uende upande wa kusini kwenye barabara inayoshuka kutoka Yerusalemu mpaka Gaza.” (Hii ni barabara ya jangwani.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki