10 Basi wakalipeleka sanduku la Mungu wa kweli mpaka Ekroni.+ Na ikawa kwamba mara tu sanduku la Mungu wa kweli lilipofika Ekroni, Waekroni wakaanza kulia, wakisema: “Wamelileta sanduku la Mungu wa Israeli kwangu kwa kuzunguka ili waniue mimi na watu wangu!”+