Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Ekroni+ na miji yake ya kandokando na makao yake.

  • Waamuzi 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha Yuda akateka Gaza+ na eneo lake na Ashkeloni+ na eneo lake na Ekroni+ na eneo lake.

  • 2 Wafalme 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Ahazia akaanguka chini+ kupitia tundu lililo katika chumba chake cha darini+ kilichokuwa katika Samaria, naye akawa mgonjwa. Kwa hiyo akatuma wajumbe, akawaambia: “Nendeni, muulizeni+ Baal-zebubu+ mungu wa Ekroni+ ikiwa nitapona ugonjwa huu.”+

  • Amosi 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitakatilia mbali mkaaji kutoka Ashdodi,+ na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Ashkeloni;+ nami nitageuza mkono wangu+ juu ya Ekroni,+ na mabaki ya Wafilisti yataangamia,”+ Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki