Amosi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+Na mtawala* wa Ashkeloni;+Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’
8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+Na mtawala* wa Ashkeloni;+Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’