Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usishangilie, ewe Ufilisti, yeyote kati yenu,

      Kwa sababu tu gongo la yule anayewapiga limevunjwa.

      Kwa maana kwenye mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+

      Na uzao wake utakuwa nyoka wa moto arukaye.*

  • Yeremia 47:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sababu siku inayokuja itawaangamiza Wafilisti wote;+

      Itamwangamiza kabisa kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila msaidizi aliyebaki.

      Kwa maana Yehova atawaangamiza Wafilisti,

      Ambao wamebaki wa kisiwa cha Kaftori.*+

  • Ezekieli 25:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ninaunyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuwaangamiza wakaaji wanaobaki wa pwani ya bahari.+ 17 Nitatekeleza matendo makubwa ya kisasi dhidi yao kwa adhabu kali, nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu dhidi yao.”’”

  • Sefania 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+

      Neno la Yehova liko dhidi yenu.

      Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,

      Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.

  • Zekaria 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mwanaharamu ataishi Ashdodi,

      Nami nitakikomesha kiburi cha Mfilisti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki