Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+ Yeremia 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi; Sefania 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa mahame;Na Ashkeloni litafanywa ukiwa.+ Waashdodi watafukuzwa kweupe kabisa wakati wa mchana,*Na Ekroni litang’olewa.+
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi;
4 Kwa maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa mahame;Na Ashkeloni litafanywa ukiwa.+ Waashdodi watafukuzwa kweupe kabisa wakati wa mchana,*Na Ekroni litang’olewa.+