Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+ Yeremia 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi; Amosi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+Na mtawala* wa Ashkeloni;+Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ Sefania 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko dhidi yenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi;
8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+Na mtawala* wa Ashkeloni;+Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’
5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko dhidi yenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.