Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+

  • Yeremia 25:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi;

  • Amosi 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+

      Na mtawala* wa Ashkeloni;+

      Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+

      Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’

  • Sefania 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Ole kwa wale wanaokaa pwani, taifa la Wakerethi!+

      Neno la Yehova liko dhidi yenu.

      Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza,

      Hivi kwamba hakuna mkaaji atakayebaki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki