‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,
Kwa sababu walilitia mikononi mwa Edomu kundi lote la watu waliohamishwa,
Na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+
10 Basi nitaushushia moto ukuta wa Tiro,
Nao utateketeza kabisa minara yake yenye ngome.’+