2 Wafalme 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme. 2 Wafalme 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Aliwashinda pia Wafilisti+ mpaka Gaza na maeneo yake, kuanzia mnara wa walinzi mpaka jiji lenye ngome.*
18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme.
8 Aliwashinda pia Wafilisti+ mpaka Gaza na maeneo yake, kuanzia mnara wa walinzi mpaka jiji lenye ngome.*