-
2 Mambo ya Nyakati 28:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Wafilisti+ walivamia pia majiji ya Shefela+ na Negebu nchini Yuda na kuteka Beth-shemeshi,+ Aiyaloni,+ Gederothi, Soko na miji yake, Timna+ na miji yake, na Gimzo na miji yake; nao wakaanza kuishi humo. 19 Yehova aliwanyenyekeza watu wa Yuda kwa sababu ya Mfalme Ahazi wa Israeli, kwa maana aliwaacha watu wa Yuda watende watakavyo, na hivyo wakakosa kuwa waaminifu kwa Yehova kwa kiwango kikubwa.
-