Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wafilisti+ walivamia pia majiji ya Shefela+ na Negebu nchini Yuda na kuteka Beth-shemeshi,+ Aiyaloni,+ Gederothi, Soko na miji yake, Timna+ na miji yake, na Gimzo na miji yake; nao wakaanza kuishi humo. 19 Yehova aliwanyenyekeza watu wa Yuda kwa sababu ya Mfalme Ahazi wa Israeli, kwa maana aliwaacha watu wa Yuda watende watakavyo, na hivyo wakakosa kuwa waaminifu kwa Yehova kwa kiwango kikubwa.

  • Isaya 14:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Katika mwaka ambao Mfalme Ahazi alikufa,+ tangazo hili lilitolewa:

      29 “Usishangilie, ewe Ufilisti, yeyote kati yenu,

      Kwa sababu tu gongo la yule anayewapiga limevunjwa.

      Kwa maana kwenye mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+

      Na uzao wake utakuwa nyoka wa moto arukaye.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki