Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Ehudi akamjia alipokuwa ameketi katika chumba chake cha darini chenye baridi ambacho kilikuwa chake binafsi. Naye Ehudi akaendelea kusema: “Nina neno linalotoka kwa Mungu kwa ajili yako.” Kwa hiyo akasimama kutoka katika kiti chake cha ufalme.

  • 1 Wafalme 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini akamwambia: “Nipe mwana wako.” Kisha akamchukua kutoka kifuani pake, akampeleka juu katika chumba cha darini,+ alipokuwa akikaa, akamlaza juu ya kitanda chake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki