Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usishangilie,+ Ee Ufilisti,+ yeyote kati yenu, ati kwa sababu fimbo ya yule anayewapiga imevunjwa.+ Kwa maana kutoka katika mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+ na tunda lake litakuwa nyoka wa moto anayeruka.+

  • Yeremia 47:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu ya siku ambayo inakuja kuwapora Wafilisti+ wote, kumkatilia mbali kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila mwenye kuokoka aliyekuwa akisaidia.+ Kwa maana Yehova anawapora Wafilisti,+ ambao ni mabaki kutoka kisiwa cha Kaftori.+

  • Ezekieli 25:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaunyoosha mkono wangu juu ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuiangamiza pwani ya bahari inayobaki.+

  • Sefania 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Ole wao wanaokaa katika eneo la bahari, taifa la Wakerethi!+ Neno la Yehova liko kinyume chenu. Ee Kanaani, nchi ya Wafilisti, nitakuangamiza wewe pia, hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki