6 Tangazo juu ya wanyama wa kusini:+ Katika nchi ya taabu na hali ngumu,+ ya simba na chui anayenguruma, ya kipiri na nyoka wa moto anayeruka,+ juu ya mabega ya punda wakomavu wanabeba mali zao, na akiba zao juu ya nundu za ngamia.+ Havitakuwa na faida kwa ajili ya watu.