- 
	                        
            
            Yeremia 2:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
6 Nao hawakusema, ‘Yehova yuko wapi, Yeye aliyetupandisha kutoka katika nchi ya Misri,+ Yeye aliyetutembeza kupitia nyikani, kupitia nchi tambarare ya jangwani+ na shimo, kupitia nchi isiyo na maji+ na yenye kivuli kizito,+ kupitia nchi ambayo mwanadamu yeyote hakupita ndani yake na ambayo hakuna mtu wa udongo aliyekaa ndani yake?’
 
 -