Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yehova akatuma nyoka wenye sumu+ katikati ya watu, nao wakawa wakiwauma watu, hivi kwamba watu wengi wa Israeli wakafa.+

  • Kumbukumbu la Torati 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 aliyekutembeza katika ile nyika kubwa na yenye kuogopesha,+ iliyo na nyoka wenye sumu+ na nge na nchi kame ambayo haina maji; ambaye alikutolea maji katika jiwe gumu;+

  • Yeremia 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nao hawakusema, ‘Yehova yuko wapi, Yeye aliyetupandisha kutoka katika nchi ya Misri,+ Yeye aliyetutembeza kupitia nyikani, kupitia nchi tambarare ya jangwani+ na shimo, kupitia nchi isiyo na maji+ na yenye kivuli kizito,+ kupitia nchi ambayo mwanadamu yeyote hakupita ndani yake na ambayo hakuna mtu wa udongo aliyekaa ndani yake?’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki