6 Hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi,
Yule aliyetutoa nchini Misri,+
Aliyetuongoza kupitia nyikani,
Kupitia nchi yenye majangwa+ na mashimo,
Kupitia nchi yenye ukame+ na kivuli kizito,
Kupitia nchi ambayo hakuna mtu anayesafiri humo
Na ambamo hakuna mwanadamu anayeishi?’